Watu hao walikamatwa katika mtaa wa
Schaerbeek.
Polisi bado hawajatoa majina yao na pia
hawajasema iwapo walihusika katika mashambulio hayo.
Kwingineko Ufaransa, mshukiwa ambaye
inasadikika alikuwa akipanga shambulio amekamatwa karibu na mji wa Paris,
maafisa wamesema.
Mashambulio hayo ya Brussels
yamehusishwa na mashambulio ya Paris ya Novemba mwaka jana.
Kundi linalojiita Islamic State (IS)
limekiri kutekeleza mashambulio yote mawili.
KUTOKA BBC Swahili
0 maoni:
Post a Comment