MWERA AMAZING BLOG
Msanii wa Music nchini Tanzania Diamond
Platnumz, amekula savu jingine baada ya Dodacom na DSTV, sasa amesaini na kampuni ya kutengeneza na
kusambaza Tomato, nchini.
Msanii huyo alisaini mkataba huo siku ya jana
katika Ofisi yake ya huko nyumbani kwake.
Mpaka sasa inawezekana ndio msanii pekee kwa
Tanzania kuchukua dili kubwa na makampuni makubwaa nchini.
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment