MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Makao ya Jean Ping yavamiwa nchini Gabon


Kiongozi wa upinzani nchini Gabon Jean Ping
Vikosi vya usalama vimevamia makao makuu ya chama cha mgombea urais aliyeshindwa Jean Ping.
Msemaji wa serikali alisema kuwa oparesheni hiyo kwenye mji mkuu Libreville ililenga kuwafurusha wahalifu.
Alisema wao ndio walihusika katika kuchomwa kwa majengo ya bunge siku ya Jumatano.

Bwana Ping alisema kuwa watu 2 waliuawa wakati wa uvamizi katika makao makuu ya chama.
Mapema wafuasi wake waliinga barabarani kupinga tangazo kuwa rais Ali Bongo alishinda uchaguzi kwa chini ya kura 6000.


kutoka BBC Swahili
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment