MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Trump kuondoa sheria ya afya ya Obamacare Marekani

Kuondoa sheria hiyo ilikuwa moja ya vipaumbele vya Trump alipokuwa akiwania urais
Image captionKuondoa sheria hiyo ilikuwa moja ya vipaumbele vya Trump alipokuwa akiwania urais
Makamu wa Rais mteule wa Marekani Mike Pence amesema mchakato wa kufutilia mbali sheria ya afya iliyoanzishwa na Obama utaanza siku ya kwanza Donald Trump atakapoingia madarakani.
Baada ya mkutano na wanachama wa Republican na viongozi katika bunge la congress,Pence amesema Rais mteule alikuwa anashughulikia sheria mahususi zinazohusika ili kuruhusu mabadiliko kuelekea katika mfumo mpya wa sheria za afya.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment