MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TIRIRIKA MAWE
Msani wa filam na muimbaji wa muziki Tanzania al
Maharufu kama sharo milionea amepoteza maisha
Mara baada ya kupata ajari ya gari, watanzania wameonekana
Wakiwa na majonzi kwa kutokea kwa kifo cha sharo hivyo
Walikuwa na machache yakusema kuusiana na tukio hilo

……………………………
Ni muda wa kuwa kimya na kuwa na udhuni kwa kuondokewa
Na kio chetu, alikuwa msani makini pia ni mfano wa kuigwa kwa
Jamii, alikuwa nyota yenye kung’a lakini leo ametuachia huzuni
R.I.P SHARO MILIONEA, tutakukumbuka daima.
…………………………………………..
Naitwa ABA 1,
Dah kiukweli inasikitisha kiukweli lakini kawaida, watu tunapaswa
Tujifunze kufanya ibada hicho ndicho kitu cha msingi kwa sababu
Kifo kipo any tme ni hayo tu.

…………………………………………..
Naitwa DICKSON,
Hakuna cha kusema sana ila mungu ametoa na mungu
Ametwa. R.I.P SHARO MILIONEA.
Naitwa XTRA.
Nilimpenda kwa miondoko yake ya kisharobaro ila
Mungu amempenda zaidi , kazi ya mungu haina makosa
Mungu ailaze Roho yake pema peponi, amin.
……………………………………………
Naitwa EDITH wa DSJ.
Usinikumbushe uchungu kwa sababu ninampenda sana
Hasa wimbo wake wa sondela alivyoact kama Shilile, dah
Ila ndiyo kazi ya mungu haina makosa cha muhimu ni kumuombea
Tu, na tulio baki tumrudie mungu kwa sababu hatujui siku wala saa
Nitakumbuka sana sharo na misemo yake ya aaaaah ooooooh mamma.
………………………………………………….
Naitwa, MWAJUMA KENNEDY wa MAKUMBUSHO.
Kifo cha SHARO kimenigusa sana, sharo alikuwa zaidi ya
Msanii mchekeshaji, muimbaji pia mwanamatangazo hakika
Kifo chake ni pigo kubwa sana.

…………………………………………….
Kila mmoja alikuwa na lake juu ya sharo milionea, watu
Walikuwa wakionge kwa uchungu lakini haya yote ni
Kazi ya mungu, mweraamazing.blogspot.com inawapa
Pole watanzania wote na familia ya sharo milionea, tulimpenda
Lakini mungu alimpenda zaidi R.I.P SHARO MILIONEA.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment