MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAJAJI WAMPINGA RAIS MURSI
Majaji wa mahaka ya rufaa nchini Misri wanajiandaa kususia kazi na kuunga mkono waandamanaji dhidi ya rais wa misri Mohammed Morsi kujipa mamlaka zaidi.
Rais mursi.
 Sheria ya kumapaka mamlaka zaidi rais Mursi ilipitishwa siku ya Alhamisi wiki jana. Sheria hiyo inampa mamlaka rais kuchukua hatua zozote kulinda mapinduzi na kusema kuwa hakuna mahakama yoyote inaweza kuamua vinginevyo.
waandamanaji wakitawanyishwa na polisi
  Hatua hii ilizua hasira miongoni mwa wananchi kote Misri.
Polisi wamefyatua mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliopiga kambi kwenye medani ya Tahrir kupinga uamuzi wa rais Morsi kujitangazia madaraka makubwa.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment