MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TIRIRISHA MAWE


 Mashabiki wa muziki wa kizazi kipya A.K.A Bongo Fleva,
Wamemfungukia msani wa kutoka pande za Ilala CHID BENZ
Na kila mmoja halikuwa na mengi yakusema.
Naitwa JACOB MBUYA: 
CHID BENZ hakujipanga wala kujianda kuwa nwanamuziki
Ila ni msanii mzuri coz anajua kutunga..
 ……………………………………
Naitwa BETRAM A.K.A BABUU:
 CHID BENZ namkubali but sijapenda kujitoboa pua
Lakini samaani kaka, kingine kwa sasa hafanyi mziki
Kwaajiri ya mashabiki wake pia hajui kuwa tunataka nini.
…………………………………………
Naitwa MSAFIRI wa DSJ:
CHID ameniboa kutoga pua , but kitu kizuri kutoka
Kwake ni nyimbo zake.
…………………………………….
Naitwa WEST WA KATUNDU.
CHID BENZ anachoniboa mimi ni kutoboa [kutoga] pua
Yake , hakuna kinachonifyrahisha zaidi ya kuniboa tu.
………………………………………..
Naitwa KIDO MGAMBO.
 CHID BENZ  ametoboa PUA kama [ tusi] anaiga mambo
Ambayo hayajui.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment