MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAN U USO KWA USO NA REAL MADRID.
Kocha wa Manchester United Sir Alex Ferguson anaamini kuwa mechi yao dhidi ya Real Madrid katika raundi ya pili ya michuano ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya, ndiyo mechi kubwa na ngumu zaidi.
Timu hizo mbili hazijakutana tangu mwaka wa 2003 wakati zilipopepetana katika robo fainali ya michuano hiyo mechi ambayo Real Madrid ilishinda kwa magoli 6-5.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment