MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

  MARIO BALOTELL KUIPINGA MAAMUZI
Mshambulizi wa Manchester City Kutoka Italia, Mario Balotellu, atafika mbele ya kamati maalum ya shirikisho la mchezo wa soka nchini England siku ya Jumatano.

Balotelli anapinga uamuzi wa klabu yake ya Manchester City ya kumpiga faini ya mshahara wake wa wiki mbili kuhusiana na rekodi yake mbovu ya nidhamu.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, alikosa mechi 11 za ligi kuu na michuano ya ulaya msimu uliopita.
Balotelli alikata rufaa kuhusu aumuzi huo, lakini kamati huru ya wanachama wa bodi ya wakurugenzi wa klabu hiyo wakaifutilia mbali.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment