MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

UINGEREZA YAFANYA KWELI KWENYE KRIKETI

England imekamilisha ushindi wake wa kwanza katika mashindano ya Kriketi kwa zaidi ya miaka 27 nchini India, huku wachezaji wawili wa Uingereza Jonathan Trott na Ian Bell wakiandikisha zaidi ya mikimbio mia mmoja kila mmoja katika mechi hiyo iliyochezwa mjini Nagpur.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment