MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TAIFA STARS YAWACHAPA SOMALIA
Timu ya Taifa Stars imejinyakulia point  3 muhimu na
Ushindi kabambe wa mabao 7 kwa 0 dhidi ya kikosi cha
Timu ya Somalia katika michuano ya kombe la Challenge.
Mchezo huo ulikuwa wenye mshike shike mkubwa kwa
Upande wa stars kupitia mchezaji wake Ngasa ambaye ni
Mchezaji wa timu ya simba yenye makazi yake jijini Dar es salaa
Ambaye aliibuka kuwa nyota wa mchezo huo kwa kushinda mabao
5 peke ambayo yalipelekea timu ya stars kuibuka kwa ushindi wa
Mabao 7 kwa 0 .
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment