MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

SYRIA YATUMIA MABOMU
Maafisa kutoka Marekani na shirika la kujihami la NATO wanasema jeshi la Syria limekuwa likifyatua makombora ya masafa mafupi katika vita dhidi ya waasi, huku mzozo nchini humo ukizidi kuzorota.
Maafisa hao, ambao hawakutaka kutajwa, wanasema makombora hayo, yanofanana na yale ya Scud, yalifyatuliwa kutoka Damascus hadi maeneo ya kaskazini yanayodhibitiwa na waasi.
MABOMU
Msemaji mmoja wa Wizara ya Nchi za Kigeni wa Marekani, Victoria Nuland, alisema serikali ya Syria inatumia silaha hatari.
Ingawaje alisema kuwa hatatoa "habari za kinaganaga kuhusu makombora hayo", alithibitisha kwamba "hivi majuzi ufyatuliaji wa makombora ulikuwa umeonekana".

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment