MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TAFF YAWASHUKURU WATANZANIA
Shilikisho la filam Tanzania [TAFF] limetoa shukrani kwa watanzania kujitolea
Katika misiba ya wasanii .
Akizungumza na waandishi wa habari Rais wa TAFF Simon mwakifamba, alisema
Haikuwai tasnia ya filam kupatwa na majanga kama haya “Tasnia ya filam kwa
Mienzi 18 iliyopita imeyumba baada ya kuondokewa na wasanii wake kadhaa
Hivyo TAFF  inatoa shukrani kwa waliojitokeza katika kipindi chote cha misiba
Hiyo “ shukrani hizo zilitanguliwa na Duwa kwa ajili ya wasanii wote waliofariki
Iliyoongozwa na mzee Chilo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment