MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MASHABIKI WATAKA KUSIMAMA KATIKA MECHI
Kundi moja la mashabiki wa soka nchini Uingereza limesema kuwa vilabu kumi na vitatu nchini Uingereza vimesemekana kuunga mkono, uamuzi wa kuruhusu mashabiki kutizama mechi wakiwa wamesimama.
MASHABIKI WA SOKA NCHINI UINGEREZA
 Siku ya Jumanne, kundi hilo lilitarajia lipata uungwaji mkono kutoka kwa wabunge, kuhusu mipango yake ya kuifanyia pendekezo hilo majaribio wakati wa mechi za ligi kuu ya premier.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment