KILIMANJARO STARS USO KWA USO
NA ZAMBIA
Siku chache tu, baada kumaliza
katika nafasi ya nne kwenye mashindano ya CECAFA Senior Challenge Cup, Nchini
Uganda, Timu taifa ya Tanzania iantarajiwa kurejea kambini kwa maandalizi ya
mechi yao ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa Afrika Zambia.
Kwa mujibu wa shirikisho la mchezo wa soka
nchini Tanzania, Kilimanjaro Stars itavaana na Chipolopolo tarehe 22 mwezi huu
katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.![]() |
| KIKOSI CHA KILIMANJARO STARS |
Aidha kwa mara ya kwanza kikosi hicho kinajumishwa wachezaji waliotia for a kwenye michuanp ya ligi kuu na pia michuana ya CECAFA.
Miongoni mwa wachezaji walioitwa kwa mara ya kwanza ni pamoja na Aishi Manul, Samih Nuhu, Issa Rashid na Mcha Khamis.
Sita kati yao ni miongoni mwa wachezaji walioakilisha Zanzibar katika michuano ya CECAFA iliyomalizika siku ya Jumamosi jijini Kampala, Uganda, ambapo Zanzibar ilimaliza katika nafasi ya tatu

0 maoni:
Post a Comment