MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

NBA,
LIL WAYNE HAJAZUILIWA KUTAZAMA MECHI ZA NBA.
 Lil Wayne hapo mwanzoni aliwajuza mashabiki wake kuwa amezuiliwa kutazama
Ligi ya NBA katika viwanja vyote nchini marekani,  hii  ni kutokana na msemaji wa Ligi hiyo. Msemaji mkuu wa ligi ya mpira wa kikapu nchini marekani amesema kuwa hakuna
Ukweli wowote kuwa Weezy alisababisha utata wakati wa Performance mjini Houston, Mwishoni mwa wiki.
 Lil weezy aliwaambia wadau wake kuwa NBA wamemzuia katika mechi zote za NBA  kutokana na Bifu ya yeye na Miami Heat Organization,
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment