MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

YOUNG JEEZY KUDAIWA
Msanii wa miondoko ya HIP HOP nchini Marekan Young Jeezy,
Inadaiwa kuwa msanii huyo anadaiwa na mjamaa wa Georgia, kuwa
Mamilioni.
Jeezy alishtakiwa kwa deni la dola 5 milioni mwaka jana, na jamaa
Aliyejulikanika kwa jina la Ellerbee Demetrius, ambazo alimkopesha
Jeezy katika michakato ya Albam yake ambazo ni The Inspiration” na
The Recession ambozo zote zilikwenda katika Platinum.
Jama anasema kuwa walikuwa wana tokea mwaka 1995, walikutana
Katika boot camp, wakawa kitu kimoja nakuwa na kampuni ya
Kurekodi muziki pamoja, pia waliachia baadhi ya nyimbo, chakushangaza
Jeezy amemkanusha jama na kumuita mpuuzi.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment