JUSTIN BIEBER,
KUTUHUMIWA KWA
KUENDESHA GARI MWENDO KASI
Justin Bieber, ashutumiwa na majiran
zake kwa kuendesha gari kwa
Mwendo wa kasi mtaani, wakati watoto
na mbwa wakiwa wako mitaani,
Kutoka na tukio hilo jamaa huyo
amefungua mashtaka kwa msanii huyo.
Warinzi wa msanii huyo wanashangazwa
na jamaa huyo kutokana na
Kuwa kipindi anachokisema kuwa
Justin alifanya fujo kwa kuendesha
Gari mtaani vibaya msanii huyo
alikuwa EUROPE katika matamasha.
Jamaa aliendelea kwa kusema kuwa
justin aliufanya mtaa kuwa katika
Hali mbaya kwa sababu watoto
walikuwa katika mtaa na yeye alikuwa
Katika mwendo wa kasi sana mtaan
hapo.


0 maoni:
Post a Comment