MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WAKENYA KUPIGA KURA YA URAIS
Wakenya wote  wamepiga kura ya kumchagua Rais wa taifa hilo,
Upigaji kura huo ulianza mapema asubuhi pamoja na baadhi ya
Wagombea nao wakiwa katika vituo vya kupigia kura nyakati za saa 8 na 9
Usiku.
Kutokana na taarifa kutoka tume ya uchaguzi mkuu, kila mpiga kura alikuwa
Katika foreni hatosimamishwa atakama muda utakuwa umekwisha bali kwa
Watakao kuja mara baada ya muda wa mwisho kufikia hawatoruhusiwa kupiga
Kura.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment