MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

NICK MINAJ AMEFUNGUKA NA KUSEMA…..?


NICK MINAJ-Ametokezea kwenye jarida la Marie Claire, katika toleo la mwaka huu, kutokana na Picha yake kuwekwa kwenye kurasa ya mbele ya Magazine, hiyo inamfanya kuwa msanii wa kwanza kutokezea mwaka huu.
 Pia msanii huyo alifunguka na kusema kuwa anapenda siku moja kuwa mama, hivyo anajiandaa kuwa kwa jambo hilo, aliendelea kuongea na kutoa ushauri kwa wanawake wenzake kwa kusema kuwa “ wanawake wanatakiwa wasiangaike na wanaume na badala yake kuzingatia elimu, na kujituma kwa sababu wanaume wengi wanawapenda wanawake wanaojituma” hayo aliyasema Minaj.
 Kuuhusu Muziki alifunguka na kusema kuwa anataka kuachia Albam Tatu kabla ya kuachana na muziki.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment