MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

NDEGE YAWAKA MOTO

 Shughuli katika uwanja wa ndege wa Heathrow zimekwama kwa muda baada ya ndege moja ya shirika la ndege la Ethiopia aina ya Boeing 787 Dreamliner kushika moto.
Safari zote katika uwanja huo zilisitishwa mida ya saa kumi, kwa mujibu wa msemaji mkuu wa uwanja huo wa ndege, pia ni kwamba wakati tukio hilo linatokea la kuwaka moto ndani ya ndege hakukuwa na Abiria.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment