MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WAFUASI WA MORSI WAMTAKA KIONGOZI WAO KUREJESHWA MADARAKANI.

 
Wafuasi wa rais wa Misri aliyeondolewa madarakani Mohammed Morsi wamefanya maandamano makubwa mjini Cairo, huku waumini wa dini ya Kiislamu wakiadhimsiha Ijumaa ya kwanza tangu kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadan.
Wafuasi wa Morsi walijikusanya katika maeneo ya mashariki mwa mji wa Cairo, kushindikiza utawala wa kijeshi kuondoka na kumrejesha madarakani kiongozi huyo.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment