MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MASOGANGE, AMEACHILIWA KATIKA MIKONO YA POLISI

MWNADADA, Masogange na mdogo wake waliokamatwa huko nchini Afrika Kusini kwa kukutwa na madawa ya kulevya, taarifa zinazosikika ni kwamba mdada huyo ameachiliwa huru, hayo ni kufuatia kile alichokiandika mdada huyo katika pag yake ya Facebook na Instagram.
Page yake ilikuwa kimya kwa muda wote aliokuwa chini ya ulinzi mkali wa polisi nchini Afrika Kusini, lakini Jana usiku zilionekana zikitoa Ukimya kwa kuandika maneno ya kumshukuru mungu.

f2
f1
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment