MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

DOGO JANJA. SIJAFUKUZWA NA OSTAZI JUMA, NIMEJITOA MWENYEWE.

Msanii wa Hip Hop nchini Tanzania, aliyekuwa chini ya Ostaz Juma, Janjaro kutoka Mjini Arusha, kwasasa anaishi JIJINI DSM, amefunguka na kusema kuwa amejitoa kwa Ostaz kwa mapenzi yake mwenyewe wala hakufukuzwa na Ostaz.

Aliendelea kwa kusema kuwa amechoshwa na mambo ya Ostaz kwa muda mrefu sasa pia anataka kuwa msanii huru na kufanya kazi zake mwenyewe kama wasanii wengine wanavyofanya.

“ najua yatasemwa mengi kutoka kwa Ostaz juma ila mimi ndio uwamuzi wangu, kuna watu wanasema sina nidhamu lakini lakini hao watakuwa wanajijua sasa hivi hawakunifuatilia kutoka nyuma. Hata mtoto mdogo atakuwa mtundu ila akiwa mkubwa hunyooka na kuwa mtoto mzuri sasa nimekuwa mkubwa na kupelekwa pelekwa tena sitaki. Hayo yalikuwa maneno ya Janjaro mara alipokuwa anafanyiwa mahojiano na Dj Choka.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment