MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MZEE SMALL YUHAI BADO, TAARIFA ZA KUSEMA AMEFARIKI HAZIKUWA SAHIHI. HABARI KAMILI HIZI HAPA.



 
Taarifa kwamba mwigizaji wa bongo movie Mzee Small amefariki nilizipata kwenye mida ya saa sita usiku na ni taarifa ambazo wengi waliziamini kutokana na ukweli kwamba mzee huyu amekua akiripotiwa kuugua kwa muda mrefu.

Taarifa  ni kwamba kuna mzee mfupi aliekua akiishi Tabata pia na jina lake jingine anaitwa Mzee Small ndio kafariki, sasa watu ndio wamechanganya wakidhani ni Mzee Small Mchekeshaji.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment