MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

DIAMOND PLATNUMZ, ANAZIDI KUPEPEA TU, SASA KUKUTANA NA WASNII WAKUBWA WOTE WA AFRIKA KATIKA TUZO ZA......?




Mkali wa My Number 1, Diamond Platnumz, anazidi kupepea mbele zaidi, kutokana na Taarifa zilizopatika ni kuwa msanii huyo wa nchini Tanzania ataungana na wasanii wengine wanaofanya poazaidi Afrika katika tuzo za African Muzik Magazine Awards “ AFRIMMA 2014.’ Wasanii watakao shiriki ni P – Square, Davido, Fally Ipupa, Mr Fravour, 2Face, Sarkodie, Diamond Platnumz na wengine wengi..........


Mwazishi wa Tuzo Hizo alifunguka na kusema kuwa “ The Weekend promises to be a ground breaking and revolutionary experience” hayo yalikua maneno ya Anderson Obiagwu ambaye ndio mwazishi wa tuzo hizo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment