MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

DJ KHALED, AMEAMUA KUJA NA KAMPUNI YA HEADPHONES, " WE THE BEST SOUND"



 DJ Khaled afuata nyayo za Dr Dre, aanzisha headphones zake
DJ Khaled, ambaye ni msanii na Dj, nchini Marekani, ameamua kujiingiza katika biashara ya kuuza Headphones zake zenye jina la “We the Best Sound” biashara kama hiyo ilimfanya Dr Dre, kuwa Bilionea baada ya kuuza kampuni yake..........


DJ huyo wa Miami alitangaza kupitia Instagram kuwa amejiunga na Heads Audio na Bang Olufsen kuhakikisha anatengeneza headphones bora zaidi katika soko la muziki alizozipa jina la ‘We The Best Sound’. “Today I am proud to announce that I have partnered with Heads Audio & Bang Olufsen to create the best audio in the market place, We The Best Sound.”



Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment