Rais wa Ujerumani Joachim Gauck
amewahakikishia uvumilivu na ustahimilivu waislam million nne waliopo nchini
humo pamoja na tukio la shambulizi nchini Ufaransa.............
Katika
kumbukumbu ya shambulio la mjini Paris Ufaransa mbele ya umati, Rais Gauck
alisema “sisi wote ni Wajerumani”. Amesema kuwa walitekeleza shambulio Charlie
Hebdo nia yao ni kutaka kuwagawa watu kwa matabaka ya dini,lakini Ujerumani
kamwe haiwezi kufuuata mgawanyiko huko kwa Waislam waliopo
Ujerumani. Awali
viongozi wa kidini na kisiasa pamoja na Kansela Angela Merkel walitoa salam zao
za rambi rambi kwa kuweka maua ubalozi wa Ufaransa nchini Ujerumani kama hatua
ya kulaani shambulio hilo.
kutoka BBC Swahili.
0 maoni:
Post a Comment