Mmoja kati ya wasanii wakubwa nchini,
Mrisho Mpoto, anatarajia kudondosha nyimbo yake mpya hivi karibuni...................
Nyimbo
hiyo inakwenda kwa jina la Njoo Uchukue, kutokana na kimya cha takribani mwaka
mzima adai hii itakuwa nyimbo bora zaidi kwa mashabiki wake.
0 maoni:
Post a Comment