
Golikipa namba moja wa timu ya taifa
ya England Joe Hart ambae amepoteza namba katika kikosi cha kwanza cha
Man City, chini ya kocha mpya Pep Guardiola.
Taarifa zinasema kipa huyo anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya leo hii ili kujiunga na timu ya Torino ya nchi italia,kwa mkopo.
tayari Man City wamemsajili golikipa Claudio Bravo toka Barca kwa mkataba wa miaka minne.
0 maoni:
Post a Comment