MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAKUMBUSHO YA TAIFA INAKUSHUHIA “MUSEUM ART EXPLOSION” SIKU YA IJUMA NDANI YA KUMBI YA MAKUMBUSHO.

TIKETI ZINAPATIKA MAKUMBUSHO YA TAIFA- "DSM"
Najua wajua kuwa burudani ni sehemu ya Maisha kwa kulijua hilo National Museum of Tanzania, Museum and House of Culture, inakushushia bonge la Event (MUSEUM ART EXPLOSION) siku ya Ijumaa Hii kuanzia saa MOJA JIONI HADI saa TATU USIKU kwa Mkwanja wa Buku 10,000/= kwa mtu mkubwa na watoto ni buku Tano Tu.

Kuwa wa kwanza kujivunia sanaa ya Tanzania kwa kusapoti kazi ya Nyumba. Ukipata Taarifa hii Basi wajuze na wengine.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment