MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Picha ya Ndege mpya za Air Tanzania


Rais John Pombe Magufuli alitangaza kuwa mapema mwezi September Serikali itanunua ndege mbili kubwa aina ya Bombardier Q400 kutoka nchini Canada ili kuweza kulipa uhai shirika la ndege la Tanzania (ATCL).
Ikiwa zimebaki siku kadhaa itimie ahadi ya Rais Magufuli hizi ni picha ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii lakini bado tunaendelea kutafuta mamlaka husika kuthibitisha lakini pia kujua taarifa zaidi kuhusiana na ndege hizo mpya.
ATCL IMG-20160823-WA0019 IMG-20160823-WA0017
ATCL 2
Chanzo Millardayo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment