MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Tetemeko jingine la ardhi laikumba nchi ya Myanmar


Tetemeko jingine la ardhi lenye ukubwa wa rishta 6.8 limekumba mkoa wa kati wa Myanmar.
Watu watatu wameripotiwa kufariki katika tetemeko hilo ambalo lilisikika mpaka mji wa Bangkok nchini Thailand na Dhaka nchini Bangladesh.

Ndugu wawili wamekufa kwenye maporomoko.
Limesikika pia mji wa Bangkok nchini Thailand na Dhaka nchini Bangladesh
zaidi ya watu elfu moja waliokua wanasheherekea sherehe za kibudha wameathiriwa na tetemeko hilo.
Sehemu nyingine hazijaathiriwa sana.

kutoka BBC Swahili.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment