MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Wenger: Hatukujiandaa inavyostahili

Arsene Wenger
Image captionArsene Wemnger
Arsenal haikuwa na mda wa kuwaanda wachezaji wake baada ya michuano ya Euro2016 na hawakuwa na uzoefu katika mechi walioshindwa na Liverpool kwa mabao 4-3 kulingana na mkufunzi Arsene Wenger.
The Gunners walioongoza 1-0,walifungwa mara tatu katika kipindi cha pili na hivyobasi kuwalazimu kuanza ligi ya Uingereza na kipigo.
Baadhi ya wachezaji waliorudi walikuwa hawako tayari,alisema Wenger ambaye alizomwa na mashabiki katika uwanja wa Emorates.
''Tulilazimika kuadhibiwa.Ni hali ambayo lazima uadhibiwe''
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment