MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Bosco Ntaganda aanza kula baada ya kugoma wiki mbili ICC

 Bosco Ntaganda
Aliyekuwa kiongozi wa waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Bosco Ntaganda ameanza kula baada ya kugoma kwa takriban wiki mbili katika kizuizi chake kwenye mahakama ya kimataifa ya uhaini huko Hague, Shirika la AFP linaripoti.

Anakakabiliwa na kesi ya uhalifu wa kivita.

Amepewa jina la utani "The Terminator" kutokana na shughuli zake Congo, Ntaganda aligoma kula kulalamika dhidi ya hali inayomkabili kizuizini, ikiwemo kuhusu suala la kutembelewa na familia yake.

KUTOKA BBC Swahili
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment