
Rais wa Tanzania John Magufuli
ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa Pensheni
wa LAPF Prof Hasa Mlawa na kuvunja bodi ya udhamini wa mfuko huo.
"Uteuzi wa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Udhamini ya LAPF utafanywa baadaye," taarifa hiyo imesema
kutoka BBC Swahili
0 maoni:
Post a Comment