
Ndege mbili za kivita za Marekani
zenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia, B-1 Lancer, zimepaa juu ya anga
ya Korea Kusini, siku chache baada ya Korea Kaskazini kufanya jaribio
la tano la silaha za nyuklia.
Marekani imeitahadharisha Korea Kaskazini kwamba hatua kali zitachukuliwa dhidi ya taifa hilo baada ya kufanyika kwa majaribio hayo ya bomu Ijumaa.
Kutoka BBC Swahili
0 maoni:
Post a Comment