Kuapishwa kwake kunafanyika baada ya upinzani kushindwa katika kesi ya kutaka matokeo ya uchaguzi kubatilishwa.
Bwana Lungu alishinda uchaguzi wa tarehe 11 mwezi Agosti kwa asilimia 50.35 na kupita kiwango kilichokwa kuepuka kurudiwa tena kwa uchaguzi.
Mwandishi wa BBC aliye kwenye uwanja wa National Heroes katika mji mku wa Zambia Lusaka, anasema kuwa takriban watu 60,000 wamefika kushuhudia kuapishwa kwa Rais Edga Lungu.
0 maoni:
Post a Comment