MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Obama afuta mkutano na kiongozi wa Ufilipino kwa kuitwa "mwana wa kahaba"

Rodrigo Duterte akiwasili Laos kwa mkutano mkuu wa Asean
Rais wa Marekani Barack Obama amevunja mkutano wake na Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte, ambaye awali alikuwa amemwita "mwana wa kahaba".

Bw Obama awali alikuwa amesema kwamba angemuuliza kiongozi huyo maswali kuhusiana na mauaji ya kiholela ya watu wanaotuhumiwa kuhusika katika ulanguzi wa dawa za kulevya Ufilipino.

Lakini Bw Duterte, ambaye ameunga mkono mauaji hayo, alisema iwapo hilo lingefanyika: "Putang ina (mwana wa kahaba) nitakutusi katika mkutano huo."

Maafisa wa Obama wamesema badala yake kiongozi huyo sasa atakutana na rais wa Korea Kusini.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment