
Rais wa Marekani Barack Obama
amevunja mkutano wake na Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte, ambaye awali
alikuwa amemwita "mwana wa kahaba".
Lakini Bw Duterte, ambaye ameunga mkono mauaji hayo, alisema iwapo hilo lingefanyika: "Putang ina (mwana wa kahaba) nitakutusi katika mkutano huo."
Maafisa wa Obama wamesema badala yake kiongozi huyo sasa atakutana na rais wa Korea Kusini.
0 maoni:
Post a Comment