MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

Waziri wa haki Gabon ajiuzulu kupinga matokeo

 Maandamano Gabon
Waziri wa haki nchini Gabon Seraphim Moundounga amejizulu kulalamikia utata ambao umegubika matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika nchini humo wiki moja iliyopita.

Anadaiwa kumuonya Rais Ali Bongo, ambaye alitangazwa mshindi na tume ya uchaguzi, kwamba angefutilia mbali matokeo ya uchaguzi huo iwapo "hayakulingana na uhalisia."

Bw Mondunga ndiye afisa wa juu serikalini kujiuzulu kufuatia mzozo huo kuhusu matokeo ya uchaguzi.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment