Waziri wa haki nchini Gabon Seraphim
Moundounga amejizulu kulalamikia utata ambao umegubika matokeo ya
uchaguzi wa urais uliofanyika nchini humo wiki moja iliyopita.
Anadaiwa
kumuonya Rais Ali Bongo, ambaye alitangazwa mshindi na tume ya
uchaguzi, kwamba angefutilia mbali matokeo ya uchaguzi huo iwapo
"hayakulingana na uhalisia."
Bw Mondunga ndiye afisa wa juu serikalini kujiuzulu kufuatia mzozo huo kuhusu matokeo ya uchaguzi.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni:
Post a Comment