MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

YATIMIA JUMA MOJA TANGU SHAMBULIO LA WESTGATE

Jumba la Westgate likiporomoka
Wakenya walimaliza siku tatu za maombolezi Ijumaa.
Imetimia juma moja kamili tangu jengo la maduka mjini Nairobi kushambuliwa na watu wengi kuuwawa.

Watu wenye silaha walivamia jengo la Westgate, magharibi mwa Nairobi, na kwa siku kadha waliendeshana mbiyo na vikosi vya usalama huku wakifyatua risasi na kuuwa wateja waliokuwamo kwenye maduka hayo, pamoja na watoto.
Hadi sasa inajulikana kuwa watu 67 waliuwawa.

 
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment