MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

50 WAUAWA KWENYE MAANDAMANO MISRI

Mtu aliyejeruhiwa katika maandamano ya Misri
Takriban watu 50 wameuawa kwenye makabiliano kati ya polisi na wafasi wa Rais aliyeondolewa mamlakani Mohammed Morsi.

Zaidi ya wanachama wengine miambili wa vuguvugu la Muslim Brotherhood walikamatwa mjini Cairo,ambako vifo vingi zaidi viliripotiwa.

Wafuasi wa Morsi waliandamana katika miji kadhaa kote nchini Misri, huku jeshi likiadhimisha miaka 40 ya vita vya mwaka 1973 katika ya waarabu na waisraeli.

Wafuasi wa Morsi wanasema kuwa aliondolewa mamlakani na jeshi mwezi Julai mwaka huu.
Mtu aliyejeruhiwa katika maandamano ya Misri


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment