Chris brown, ameyazua majanga tena, msanii wa muziki nchini marekani Cb, amekamatwa yeye na Bodygurd wake mara baada ya CB, Kumpiga mtu mmoja ngumi ya uso na kumvunja pua. sababu kubwa ni CB, alikuwa anapiga picha na wasichana mara jamaa akapita nyuma na kuharibu picha hiyo, ndipo alipochukua sheria mkononi, lakini tukio hilo limesemwa kuwa jamaa alitaka kupanda Gari ya Tour ya CB, ndipo alipoamua kumchapa ngumi ya pua na kumtengua pua. |
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment