Aliyekuwa Daktari wa mwimbaji wa muziki
wa Pop Duniani Michael Jackson, Conrad Murray, ameachiwa hurubaada ya kutumikia
kifungo kwa muda wa miaka miwili.
Inasemekana kuwa Daktari huyo alitumia mlango wa nyuma
kutoka katika jela hiyo ili kuwakwepa waandishi wa Habari sambamba na mashabiki wa Michael Jackson,
wenye hasra dhidi ya Doktari huyo.
Wanafamilia wa Michael Jackson, wamesema kuwa Dockta
huyo ndiye aliyemptezea maisha MJ, hivyo si sawa kwa dokta huyo kuendelea na
kazi yake kwani anaweza kusababisha majanga mengine, lakini Mwanasheria wake
alisema kuwa yuko huru pia anaweza kuendelea na kazi yake ya kutibia watu.
0 maoni:
Post a Comment