MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

HAKUNA TENA BIFU KATI YA 20 PERCENT NA MAN WALTER

20 Percent akipeana mkono wa Peace na Man Walter 
Mtayarishaji wa muziki nchini Tanzania Man Walter, amemaliza tofauti kati yake na 20 Percent, pia anatarajia kumtoa tena katika Game kwa kipindi kirefu alichokuwa amepotea katika muziki nchini.
Man amesema kuwa ameshamalizana na 20, na sasa wanataka kuja na ngoma kali tupu pia 20, alisema kuwa wadau wake wakae mkao wa kula kwani ukimya wake ulikuwa kwasababu ya kupika vitu vizuri zaidi kwa mshabiki wake.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment