MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

HAKUNA TENA BIFU KATI YA CHRIS BROWN NA DRAKE, WANAKUJA NA NGOMA YA PAMOJA.

Bifu limekwisha na sasa wapo studio wanataka kutoka na ngoma ya pamoja yani nawazungumzia mastar wa nchini Marekani yani Chris Brown na Drake, waliokuwa na bifu ya muda mrefu lakini sasa wamemaliza tofauti zao na kuhamua kufanya Ngoma ya Pamoja.
CB, aliandika katika account yake ya Facebook, kuwa “ Hanging with Drake in the Studio”  


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment