Msanii wa muziki nchini , Linex ,
amefunguka na kusema kuwa hatofanya show yoyote kwa kipindi cha miezi mine,
mpaka tar 14 mwezi wa pili mwakani ambapo itakuwa sambamba na siku yake ya
kuzariwa.
Linex
ameyasema hayo kupitia kurasa yake ya Instagram , kabla ya show yake ya mwisho
iliyofanyika Club Billicanas hapo jana.
Kikubwa
ni kuwa msanii huyu anataka kuja kivingine hapo mwakani, hayo ni kutokana na
status yake ya mwisho.
0 maoni:
Post a Comment