MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAADHIMISHO YA VITA YAUWA ZAIDI MISRI

Mtu aliyejeruhiwa katika maandamano ya Misri
Watu kama 15 wameuwawa kwenye mapambano nchini Misri wakati wafuasi wa rais wa Kiislamu, Mohammed Morsi, walitumia siku ya kukumbuka vita dhidi ya Israel vya mwaka wa 1973, kulaani hatua ya jeshi ya kuitoa madarakani serikali ya rais huyo.
Askari wa usalama walitumia moshi wa kutoza machozi na kufyatua risasi hewani kuwazuwia wafuasi wa Morsi kufika medani ya Tahrir mjini Cairo.
Maelfu ya watu walishiriki Tahrir katika shughuli zilizotayarishwa na jeshi kuadhimisha siku hiyo.
Ghasia piya zilizotokea katika maandamano kama hayo kwenye miji kadha mengine ya Misri.
Kutoka BBC
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment