MWANANCHI LARUDI: Mkurugenzi Mtendaji wa
Mwananchi Communications limited (MCL)Tido Mhando akizungumza na waandishi wa
habari jijini kuhusu kuanza uchapishaji leo wa gazeti la Mwananchi lililokuwa
limefungiwa kwa wiki mbili. Kulia ni Mhariri Mtendaji wa gazeti hilo Denis
Msacky. PICHA | FIDELIS FELIX
|
Hatua ya kulifungia gazeti hili kwa
sababu za kufikirika imesababisha maumivu kwa watu wengi, Vijana (Vendors)
waliokuwa wakiuza na kusambaza gazeti hili pamoja na familia zao
zinazowategemea wameumia.
Waandishi
wa kujitegemea wanaolipwa kutokana na habari wanazotuma gazetini wameumia
pamoja na familia zao. Hayo yalikuwa maneno ya mwananchi kufuatia kifungo cha
wiki mbili kutokana na kuandika habari za kusababisha uvunjifu wa hamani.
0 maoni:
Post a Comment