Moja ya Mtandao mkubwa duniani YOUTUBE,
umeanziasha Tuzo zake za Muziki yani ni YouTube Music Awards, tuzo hizo
zitakuwa zikitolewa kwa wasanii waliofanya vizuri katika miaka ya hivi
karibuni, katika tuzo hizo zitasindikizwa na Eminem pamoja na Lady Gaga. Katika
jiji la New York , nchini Marekani.
Pia
katika Tuzo hizo kutakuwa na Tuzo ya Video ambayo imewai kutazamwa sana Duniani
kupitia mtandao wa YouYube, na kushare katika mitandao mengine yani ni Global
Music – Video Views.
Majina
yote ya wasanii watakao shiriki katika tuzo hizo yatatagazwa kupitia Mitandao
tar 17.10.2013. na kura zote zitapigwa kupitia mitandao ya kijamii. Na Tukio
zima litaonesha Live kupitia mtandao.
0 maoni:
Post a Comment